• HABARI MPYA

    Saturday, August 08, 2020

    NAMUNGO FC YAANZA KUIMARISHA KIKOSI CHAKE CHA KOMBE LA SHIRIKISHO, YAMSAJILI NYOTA WA LIPULI

    Kiungo Fredy Tangalo akiwa ameshika jezi ya Namungo FC baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao kutoka Lipuli FC ya Iringa iliyoshuka daraja 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO FC YAANZA KUIMARISHA KIKOSI CHAKE CHA KOMBE LA SHIRIKISHO, YAMSAJILI NYOTA WA LIPULI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top