Wachezaji wa Barcelona wakiwa hawaamini macho yao baada ya kuchapwa 1-0 na Athletic Bilbao bao pekee la mshambuliaji Mspaniola, Inaki Williams mwenye asili ya Ghana dakika ya 90 na ushei, sekunde chache baada ya Lionel Messi kukosa bao la wazi kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, hivyo kutolewa kwenye michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Colorado's Deion Sanders weighs in on wagering as gambling scandal ripples
through college football
-
DENVER (AP) — Nobody has lived on the edge of the risk-reward nature of
sports more than Deion Sanders over the years.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment