Wachezaji wa Barcelona wakiwa hawaamini macho yao baada ya kuchapwa 1-0 na Athletic Bilbao bao pekee la mshambuliaji Mspaniola, Inaki Williams mwenye asili ya Ghana dakika ya 90 na ushei, sekunde chache baada ya Lionel Messi kukosa bao la wazi kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, hivyo kutolewa kwenye michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Israeli strikes kill 14 in Lebanon as Israel warns residents to leave towns
beyond 'buffer zone'
-
April 26 () - Israeli strikes killed 14 people and wounded 37 on Sunday,
Lebanon's health ministry said, as the Israeli military warned residents to
leave ...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment