Wachezaji wa Barcelona wakiwa hawaamini macho yao baada ya kuchapwa 1-0 na Athletic Bilbao bao pekee la mshambuliaji Mspaniola, Inaki Williams mwenye asili ya Ghana dakika ya 90 na ushei, sekunde chache baada ya Lionel Messi kukosa bao la wazi kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, hivyo kutolewa kwenye michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors' Draymond Green: 'Appreciate My Dawgs' Defeating Magic After
Ejection
-
Draymond Green was happy to see the Golden State Warriors get a much-needed
win over the Orlando Magic on Wednesday night in a game that he was ejected
from…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment