Wachezaji wa Barcelona wakiwa hawaamini macho yao baada ya kuchapwa 1-0 na Athletic Bilbao bao pekee la mshambuliaji Mspaniola, Inaki Williams mwenye asili ya Ghana dakika ya 90 na ushei, sekunde chache baada ya Lionel Messi kukosa bao la wazi kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa San Mamés Barria mjini Bilbao, hivyo kutolewa kwenye michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kyle Walker hits back at fan criticism after he was accused of 'failing to
turn up' for Man City's draw with Brentford - as club captain tries to
secure transfer to Milan
-
Mail Sport exclusively revealed that Pep Guardiola had left Walker at home
ahead of the 2-2 draw after the defender asked to leave the club.
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment