// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
'FUNDI' MBARAKA YUSSUF AREJEA MAZOEZINI AZAM FC BAADA YA KUWA NJE MWAKA MZIMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE'FUNDI' MBARAKA YUSSUF AREJEA MAZOEZINI AZAM FC BAADA YA KUWA NJE MWAKA MZIMA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
'FUNDI' MBARAKA YUSSUF AREJEA MAZOEZINI AZAM FC BAADA YA KUWA NJE MWAKA MZIMA
Mshambuliaji MbarakaYusuph akiwa mazoezini na timu yake, Azam FC jana baada ya kuwa nje kwa takribani mwaka mmoja kutokana na maumivu ya goti
Mbaraka Yussuf alifanyiwa upasuaji wa goti lake la mguu wa kulia Aprili mwaka jana katika Hospitali ya Vincent Pallotti jijini Cape Town, Afrika Kusini
Na hiyo ni baada ya kubainika amechanika mtulinga wa kati wa goti hilo, kitaalamu Anterior Cruciate Ligament Tear
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment