Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimrukia Sime Vrsaljko wa Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico Madrid ilishinda 1-0, bao pekee la Saul Niguez dakika ya nne na sasa timu hizo zitarudiana Machi 11 Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sánchez strikes out 10 in 7 innings and García hits 2-run homer as Phillies
beat Blue Jays 5-2
-
Cristopher Sánchez struck out 10 and allowed two runs in seven innings to
win for the sixth time in seven starts, Adolis García hit a two-run homer
and the...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment