Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimrukia Sime Vrsaljko wa Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico Madrid ilishinda 1-0, bao pekee la Saul Niguez dakika ya nne na sasa timu hizo zitarudiana Machi 11 Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis super fan who went viral for Emma Raducanu support is EVICTED from
Australian Open by police during Alex de Minaur match
-
The tennis super fan who became a viral sensation for his support of Brit
Emma Raducanu has experienced a complete backflip of fortunes after police
ejecte...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment