Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimrukia Sime Vrsaljko wa Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico Madrid ilishinda 1-0, bao pekee la Saul Niguez dakika ya nne na sasa timu hizo zitarudiana Machi 11 Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leeds 'launch talks' with RB Salzburg's Tyler Adams and Mohamed Camara as Kalvin Phillips nears exit
-
England midfielder Phillips is expected to agree terms with City next week
after Leeds finalised a £45m deal with the Premier League champions,
leaving a c...
Dakika 28 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni