Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimrukia Sime Vrsaljko wa Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico Madrid ilishinda 1-0, bao pekee la Saul Niguez dakika ya nne na sasa timu hizo zitarudiana Machi 11 Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment