Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimrukia Sime Vrsaljko wa Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico Madrid ilishinda 1-0, bao pekee la Saul Niguez dakika ya nne na sasa timu hizo zitarudiana Machi 11 Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Determined Alex de Minaur battles to book his place in the fourth round of
the Australian Open with gutsy comeback vs Francisco Cerundolo
-
It was not all plain sailing for the Sydneysider, who sealed a 7-5 6-7
(7-3) 3-6 3-6 victory against world No 31 Francisco Cerundolo.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment