• HABARI MPYA

    Monday, February 24, 2020

    TWIGA STARS WALIVYOWASILI DAR ES SALAAM LEO BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA PILI MICHUANO YA UNAF TUNISIA

    Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ya wanawake, Twiga Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo kutoka Tunisia walipokwenda kushiriki michuano ya UNAF iliyomalizika kwa timu hiyo kushika nafasi ya pili.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS WALIVYOWASILI DAR ES SALAAM LEO BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA PILI MICHUANO YA UNAF TUNISIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top