Kipa wa Morocco akidaka mpira mbele ya kiungo mshambuliaji wa Tanzania, Mwanahamisi Omary 'Gaucho' kwenye mchezo wa michuano ya Wanawake kwa nchi za Kaskazini mwa Afrika ijulikanayo kama UNAF, leo Uwanja wa Kram Jijini Tunis.
Happiness Hezron wa Twiga Stars (kulia) akiupigia hesabu mpira dhidi ya wachezaji wa Morocco. Morocco imeshinda 3-2 na huo ni mchezo wa kwanza kwa Twiga Stars walioalikwa kuongeza ladha ya mashindano hayo kupoteza, baada ya kushinda 7-2 dhidi ya Mauritania na 3-1 dhidi ya Algeria.
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 2
-
While Day 2 of the 2024 NFL draft might not have involved as much drama as
Day 1, plenty of future starters and stars came off the board. Prospects
picked on…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment