Kipa wa Morocco akidaka mpira mbele ya kiungo mshambuliaji wa Tanzania, Mwanahamisi Omary 'Gaucho' kwenye mchezo wa michuano ya Wanawake kwa nchi za Kaskazini mwa Afrika ijulikanayo kama UNAF, leo Uwanja wa Kram Jijini Tunis.
Happiness Hezron wa Twiga Stars (kulia) akiupigia hesabu mpira dhidi ya wachezaji wa Morocco. Morocco imeshinda 3-2 na huo ni mchezo wa kwanza kwa Twiga Stars walioalikwa kuongeza ladha ya mashindano hayo kupoteza, baada ya kushinda 7-2 dhidi ya Mauritania na 3-1 dhidi ya Algeria.
African Games: "We are well-prepared for Senegal"- Ghana U20 coach Desmond
Offei
-
Black Satellites coach, Desmond Offei, insists his team remains focused
ahead of their semi-final clash against Senegal at the African Games. The
Ghana U2...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment