Kipa wa Morocco akidaka mpira mbele ya kiungo mshambuliaji wa Tanzania, Mwanahamisi Omary 'Gaucho' kwenye mchezo wa michuano ya Wanawake kwa nchi za Kaskazini mwa Afrika ijulikanayo kama UNAF, leo Uwanja wa Kram Jijini Tunis.
Happiness Hezron wa Twiga Stars (kulia) akiupigia hesabu mpira dhidi ya wachezaji wa Morocco. Morocco imeshinda 3-2 na huo ni mchezo wa kwanza kwa Twiga Stars walioalikwa kuongeza ladha ya mashindano hayo kupoteza, baada ya kushinda 7-2 dhidi ya Mauritania na 3-1 dhidi ya Algeria.
NFL News: John Spytek, Raiders Reportedly Finalizing GM Contract After
Telesco Exit
-
Looking for a fresh start, the Las Vegas Raiders have landed on John Spytek
to be their next general manager. Per ESPN's Adam Schefter, the Tampa Bay…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment