• HABARI MPYA

    Tuesday, February 18, 2020

    TWIGA STARS YATELEZA MICHUANO YA UNAF TUNISIA, YACHAPWA 3-2 NA MOROCCO

    Kipa wa Morocco akidaka mpira mbele ya kiungo mshambuliaji wa Tanzania, Mwanahamisi Omary 'Gaucho' kwenye mchezo wa michuano ya Wanawake kwa nchi za Kaskazini mwa Afrika ijulikanayo kama UNAF, leo Uwanja wa Kram Jijini Tunis. 
    Happiness Hezron wa Twiga Stars (kulia) akiupigia hesabu mpira dhidi ya wachezaji wa Morocco. Morocco imeshinda 3-2 na huo ni mchezo wa kwanza kwa Twiga Stars walioalikwa kuongeza ladha ya mashindano hayo kupoteza, baada ya kushinda 7-2 dhidi ya Mauritania na 3-1 dhidi ya Algeria.    
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS YATELEZA MICHUANO YA UNAF TUNISIA, YACHAPWA 3-2 NA MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top