Nahodha wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 33 na 46 kufuata Eddie Nketiah kufunga la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Everton, ambayo mabao yake yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya kwanza na Richarlison dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Haliburton leads Pacers to win over Bucks
-
Tyrese Haliburton converts a three-point play with 1.6 seconds left in
overtime to give the Indiana Pacers a 2-1 lead over the Milwaukee Bucks in
their Eas...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment