• HABARI MPYA

    Monday, February 24, 2020

    AUBAMEYANG APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA EVERTON 3-2 EMIRATES

    Nahodha wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 33 na 46 kufuata Eddie Nketiah kufunga la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Everton, ambayo mabao yake yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya kwanza na Richarlison dakika ya 45 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AUBAMEYANG APIGA MBILI ARSENAL YAICHAPA EVERTON 3-2 EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top