Nahodha wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 33 na 46 kufuata Eddie Nketiah kufunga la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Everton, ambayo mabao yake yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya kwanza na Richarlison dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ernest Nuamah scores in penalty shootout as Lyon falls to Bourgoin-Jallieu
in Coupe de France
-
Lyon’s hopes of progressing in the Coupe de France were dashed in a
dramatic penalty shootout defeat to fifth-tier Bourgoin-Jallieu on
Wednesday.The Ligu...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment