Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao mawili dakika za 51 na 54 kabla ya Robert Lewandowski kufunga la tatu dakika ya 76 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London, kwenye mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Jijini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
42.000 Euro Geldstrafe für den BVB
-
Das Sportgericht des Deutschen Fußball-Bundes (DFB) hat Borussia Dortmund
wegen eines unsportlichen Verhaltens seiner Anhänger mit einer Geldstrafe
in Höhe...
Dakika 39 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni