Wachezaji wa Borussia Dortmund wakimpongeza mwenzao Erling Haaland baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 69 na 77 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris Saint-Germain usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ta Mabingwa Ulaya. Bao pekee la Paris Saint-Germain lilifungwa Neymar dakika ya 75 na sasa timu hizo zitarudana Machi 11 Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Haliburton leads Pacers to win over Bucks
-
Tyrese Haliburton converts a three-point play with 1.6 seconds left in
overtime to give the Indiana Pacers a 2-1 lead over the Milwaukee Bucks in
their Eas...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment