Nahodha Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 38 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Osasuna usiku wa jana Uwanja wa El Sadar, Pamplona kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Isco dakika ya 33, Lucas Vázquez dakika ya 84 na Luka Jovic dakika ya 90 na ushei wakati la Osasuna lilifungwa na Unai Garcia dakika ya 14 na kwa ushindi huo kikosi cha kocha Mfaransa, Zinadine Zidane kinafikisha pointi 52 katika mchezo wa 23 kikiendelea kuwazidi mabingwa watetezi, Barcelona pointi tatu kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TikTok Star Caden Davis Dismissed by OSU Ahead of CFP Title Game vs. Notre
Dame
-
As Ohio State gears up for Monday's College Football Playoff national
championship game against Notre Dame it will be doing so without one of its
most famous…
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment