Nahodha Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 38 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Osasuna usiku wa jana Uwanja wa El Sadar, Pamplona kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Isco dakika ya 33, Lucas Vázquez dakika ya 84 na Luka Jovic dakika ya 90 na ushei wakati la Osasuna lilifungwa na Unai Garcia dakika ya 14 na kwa ushindi huo kikosi cha kocha Mfaransa, Zinadine Zidane kinafikisha pointi 52 katika mchezo wa 23 kikiendelea kuwazidi mabingwa watetezi, Barcelona pointi tatu kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid crash out of Copa del Rey to second tier strugglers in first
match after Xabi Alonso's sacking - as Alvaro Arbeloa endures nightmare
debut in the dugout
-
Real Madrid began life without Xabi Alonso by crashing out of the Copa del
Dey to second tier strugglers Albacete as Alvaro Arbeloa endured a
nightmare fir...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment