Nahodha Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 38 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Osasuna usiku wa jana Uwanja wa El Sadar, Pamplona kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Isco dakika ya 33, Lucas Vázquez dakika ya 84 na Luka Jovic dakika ya 90 na ushei wakati la Osasuna lilifungwa na Unai Garcia dakika ya 14 na kwa ushindi huo kikosi cha kocha Mfaransa, Zinadine Zidane kinafikisha pointi 52 katika mchezo wa 23 kikiendelea kuwazidi mabingwa watetezi, Barcelona pointi tatu kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sixteen wins in 18 games - how England found the secret to T20 success: The
'era of Harry Brook', Jofra Archer's powerplay magic touch and how Brendon
McCullum tweak paid off
-
England are in the T20 World Cup semi-finals after 16 wins out of 18 since
Harry Brook became captain. Ahead of the meeting with India, Daily Mail
Sport lo...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment