Lionel Messi akishangila kibabe baada ya kufunga mabao manne dakika za 14, 37, 40 na 87 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camp Nou, bao lingine likifungwa Arthur dakika ya 89. Kwa ushindi huo, kikosi cha Quique Setien kinafikisha pointi 55 katika mchezo wa 23 na kurejea kileleni mwa La Liga, sasa kikiwazidi pointi mbili mahasimu, Real Madrid ambao usiku huu wanacheza mechi yao ya 23 pia dhidi ya Levante PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump: Nigerians don’t need to be told security has improved – Dalung
-
Former Minister of Youth and Sports, Solomon Dalung, has downplayed US
President Donald Trump's recent praise of President Bola Tinubu’s efforts
to tackl...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment