Bondia Mmarekani, Deontay Wilder (kulia) akiwa ameketi chini baada ya kuangushwa Muingereza, Tyson Fury (kushoto) katika pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas, Marekani. Gypsy King alimuangusha mara mbili Bronze Bomber kabla ya wasaidizi wake kurusha taulo ulingoni raundi ya saba kumnusuru na kipigo zaidi hivyo Fury kutwaa taji la WBC kwa ushindi wa Technical Knockout (TKO) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Murakami hits 2 HRs, drives in 6 runs to lead AL Central-leading White Sox
past Astros 12-3
-
Munetaka Murakami homered twice and drove in a season-high six runs; Miguel
Vargas, Chase Meidroth and Junior Perez also went deep as the Chicago White
Sox...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment