Bondia Mmarekani, Deontay Wilder (kulia) akiwa ameketi chini baada ya kuangushwa Muingereza, Tyson Fury (kushoto) katika pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas, Marekani. Gypsy King alimuangusha mara mbili Bronze Bomber kabla ya wasaidizi wake kurusha taulo ulingoni raundi ya saba kumnusuru na kipigo zaidi hivyo Fury kutwaa taji la WBC kwa ushindi wa Technical Knockout (TKO) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment