• HABARI MPYA

    Monday, February 17, 2020

    ARSENAL YAZINDUKA LIGI KUU ENGLAND, YAICHAPA NEWCASTLE 4-0

    Wachezaji wa Arsenal wakipongezana baada ya ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya England tangu waifunge Manchester United siku ya mwaka mpya, kufuatia kuichapa Newcastle United 4-0 jana mabao ya Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 54, Nicolas Pepe dakika ya 57, Mesut Ozil dakika ya 90 na Alexandre Lacazette dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Emirates 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAZINDUKA LIGI KUU ENGLAND, YAICHAPA NEWCASTLE 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top