Mchezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania, Amina Ally akimdhibiti mchezaji wa Tunisia kwenye mchezo wa mwisho wa michuano ya UNAF leo Uwanja wa Kram Jijini Tuninia, timu hizo zikitoka sare ya 1-1.
Mechi tatu za awali, Twiga Stars ilishinda 7-0 dhidi ya Mauritania na 3-2 dhdi ya Algeria kabla ya kufungwa 3-2 na Morocco.
Mechi tatu za awali, Twiga Stars ilishinda 7-0 dhidi ya Mauritania na 3-2 dhdi ya Algeria kabla ya kufungwa 3-2 na Morocco.
0 comments:
Post a Comment