Kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde (kushoto) akisikitka baada ya mshambuliaji Alexander Isak kuifungia Real Sociedad mabao mawili dakika za 54 na 56 katika ushindi wa 4-3 dhidi ya wenyeji kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Hispania usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid. Mabao mengine ya Real Sociedad yalifungwa na Martin Odegaard dakika ya 22 na Mikel Merino dakika ya 69, wakati mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marcelo dakika ya 59, Rodrygo dakika ya 8 na Nacho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WNBA risks angering fans with Sophie Cunningham message as Fever star
celebrates 30th birthday amid league's trans controversy
-
Cunningham turned 30 years old as the Fever defeated the Atlanta Dream
95-91 in a dramatic overtime thriller on Sunday. She spent the final few
weeks of he...
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment