DEO KANDA AMEPONA NA YUKO 'FITI' KABISA KUICHEZEA SIMBA SC DHIDI YA MTIBWA SUGAR KESHO MOROGORO
Kiungo wa Simba SC, Deo Kanda raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akiwa mazoezini na timu yake jana Morogoro kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Jamhuri mjini humo
Beki Yussuf Mlipili akiwa mazoezini Simba SC jana Morogoro kujiandaa na mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Jamhuri mjini humo
Kiungo Shiza Kichuya akiwa mazoezini Simba SC jana Morogoro kujiandaa na mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Jamhuri mjini humo
Beki Shomari Kapombe akiwa mazoezini Simba SC jana Morogoro kujiandaa na mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Jamhuri mjini humo
Wachezaji wa Simba SC wakiwa mazoezini jana Morogoro kujiandaa na mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar kesho
Item Reviewed: DEO KANDA AMEPONA NA YUKO 'FITI' KABISA KUICHEZEA SIMBA SC DHIDI YA MTIBWA SUGAR KESHO MOROGORO
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Sky überträgt | Osmers pfeift
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund beim FC Bayern München an. Anstoß ist um
18:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir kompakt
zus...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment