• HABARI MPYA

    Monday, February 10, 2020

    DEO KANDA AMEPONA NA YUKO 'FITI' KABISA KUICHEZEA SIMBA SC DHIDI YA MTIBWA SUGAR KESHO MOROGORO

    Kiungo wa Simba SC, Deo Kanda raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akiwa mazoezini na timu yake jana Morogoro kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Jamhuri mjini humo 
    Beki Yussuf Mlipili akiwa mazoezini Simba SC jana Morogoro kujiandaa na mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Jamhuri mjini humo  
    Kiungo Shiza Kichuya akiwa mazoezini Simba SC jana Morogoro kujiandaa na mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Jamhuri mjini humo   
    Beki Shomari Kapombe akiwa mazoezini Simba SC jana Morogoro kujiandaa na mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Jamhuri mjini humo   
    Wachezaji wa Simba SC wakiwa mazoezini jana Morogoro kujiandaa na mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar kesho 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DEO KANDA AMEPONA NA YUKO 'FITI' KABISA KUICHEZEA SIMBA SC DHIDI YA MTIBWA SUGAR KESHO MOROGORO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top