Hans Hateboer akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Atalanta mabao mawili dakika ya 16 na 62 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Atalanta yalifungwa na Josip Ilicic dakika ya 42 na Remo Freuler dakika ya 57, wakati la Valencia lilifungwa na Denis Cheryshev dakika ya 66 na timu hizo zitarudiana Machi 10 Uwanja wa Mestalla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Ricciardo parties hard with The Chainsmokers in Las Vegas just before Australian Grand Prix
-
Daniel Ricciardo has been spotted partying in Las Vegas alongside EDM duo
The Chainsmokers just days before the Australian GP - and fans are
overjoyed to s...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment