Hans Hateboer akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Atalanta mabao mawili dakika ya 16 na 62 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Atalanta yalifungwa na Josip Ilicic dakika ya 42 na Remo Freuler dakika ya 57, wakati la Valencia lilifungwa na Denis Cheryshev dakika ya 66 na timu hizo zitarudiana Machi 10 Uwanja wa Mestalla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Arsenal could succeed in sensational swoop for Vinicius Jr: Key reason
contract talks with Real Madrid have stalled, concerns over growing tension
with Kylian Mbappe and how Jose Mourinho won't stand in the way
-
PETE JENSON IN MADRID: Arsenal will be pushing against an open door if they
follow through on initial interest and make a big money offer for Vinicius
this...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment