Antoine Griezmann (kulia) akijiandaa kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 57 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Napoli waliotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 30 katika mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo Jijini Napoli. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Division-by-Division Rankings After 1st Week of 2023 Free Agency
-
Whenever a marquee free agent picks a destination, NFL fans immediately
start thinking about the impact. How does that player fit? If he left one
franchise…
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment