Antoine Griezmann (kulia) akijiandaa kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 57 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Napoli waliotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 30 katika mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo Jijini Napoli. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🧤Alisson and Ederson share Premier League Golden Glove award
-
The 2021/22 Premier League golden glove has been shared by Manchester
City's Ederson and Liverpool's Alisson. The two Brazilians went into the
last match ...
Dakika 18 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni