Antoine Griezmann (kulia) akijiandaa kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 57 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Napoli waliotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 30 katika mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo Jijini Napoli. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bristol go fourth with big win at Newcastle
-
Bristol Bears run in eight tries to move back into The Prem's top four with
a 52-19 win at Newcastle Red Bulls.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment