Antoine Griezmann (kulia) akijiandaa kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 57 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Napoli waliotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 30 katika mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo Jijini Napoli. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump: Nigerians don’t need to be told security has improved – Dalung
-
Former Minister of Youth and Sports, Solomon Dalung, has downplayed US
President Donald Trump's recent praise of President Bola Tinubu’s efforts
to tackl...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment