• HABARI MPYA

    Friday, February 14, 2020

    WACHEZAJI WA SIMBA WAKIJIFUA TAYARI KUWAVAA LIPULI FC KESHO UWANJA WA SAMORA

    Kiungo wa Simba SC, Deogratius Kanda (katikati) akimlamba chenga beki Yussuf Mlipili mazoezini Uwanja wa Samora mjini Iringa jana kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya wenyeji, Lipuli FC
    Wachezaji wa Simba wakiwa mazoezini Uwanja wa Samora mjini Iringa jana kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kesho dhidi ya wenyeji, Lipuli FC 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WACHEZAJI WA SIMBA WAKIJIFUA TAYARI KUWAVAA LIPULI FC KESHO UWANJA WA SAMORA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top