Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 33 kabla ya Sergi Roberto kufunga la pili dakika ya 39 katika ushindi wa 2-1 leo dhidi ya Getafe ambayo bao lake limefungwa na Angel Rodriguez dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Ushindi huo unaifanya Barca ifikishe pointi 52 katika mchezo wa 24, sawa na Real Madrid yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sam Hartman, Jordan Travis' Top Landing Spots After Day 2 of 2024 NFL Draft
-
What a difference a day makes. The first round of the 2024 NFL draft on
Thursday night saw a total of six quarterbacks selected. The second and
third rounds…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment