Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 33 kabla ya Sergi Roberto kufunga la pili dakika ya 39 katika ushindi wa 2-1 leo dhidi ya Getafe ambayo bao lake limefungwa na Angel Rodriguez dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Ushindi huo unaifanya Barca ifikishe pointi 52 katika mchezo wa 24, sawa na Real Madrid yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BREAKING: CJN sets to resign
-
There are reports that that the Chief Justice of Nigeria Tanko Mohammed
may have resigned. Reports monitored on Arise TV said the CJN may have
resigned ...
Dakika 24 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni