Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 33 kabla ya Sergi Roberto kufunga la pili dakika ya 39 katika ushindi wa 2-1 leo dhidi ya Getafe ambayo bao lake limefungwa na Angel Rodriguez dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Ushindi huo unaifanya Barca ifikishe pointi 52 katika mchezo wa 24, sawa na Real Madrid yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mass shooting in parking lot on Troost Avenue followed party at unlicensed
club, city officials say
-
After a violent weekend in Kansas City, Missouri, officers are
investigating three crime scenes. Two people were killed, and a total of 12
people were shot.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment