Gabriel Jesus (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee dakika ya 80 ikiilaza Leicester City 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power leo. Sergio Aguero alikosa penalti iliyookolewa na Kasper Schmeichel, wakati Leicester walilalamika kunyimwa penalti mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bristol go fourth with big win at Newcastle
-
Bristol Bears run in eight tries to move back into The Prem's top four with
a 52-19 win at Newcastle Red Bulls.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment