Clement Lenglet (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 72 ikiilaza 3-2 Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Estadio Benito Villamarín. Mabao mengne ya Barcelona yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya tisa na Sergio Busquets dakika ya 45 na ushei na wakati ya Real Betis yalifungwa na Sergio Canales kwa penalti dakika yasita na Nabil Fekir dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees star Anthony Rizzo wears a Taylor Swift hoodie to their game on
same day as release of The Tortured Poets Department... after he previously
used her track as his walk-up song
-
Rizzo, the Yankees' first baseman, supported Swift's new album by wearing a
black hoodie with a collage of the singer's pictures before his team hosted
the...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment