Clement Lenglet (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 72 ikiilaza 3-2 Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Estadio Benito Villamarín. Mabao mengne ya Barcelona yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya tisa na Sergio Busquets dakika ya 45 na ushei na wakati ya Real Betis yalifungwa na Sergio Canales kwa penalti dakika yasita na Nabil Fekir dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mayhem at end of Nuggets-Timberwolves playoff game as Nikola Jokic sparks
huge brawl after Jaden McDaniels' controversial act
-
As his team moved 3-1 ahead in the series, Timberwolves star Jaden
McDaniels angered Nuggets rival Nikola Jokic when he ran through
unchallenged and scored...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment