Clement Lenglet (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 72 ikiilaza 3-2 Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Estadio Benito Villamarín. Mabao mengne ya Barcelona yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya tisa na Sergio Busquets dakika ya 45 na ushei na wakati ya Real Betis yalifungwa na Sergio Canales kwa penalti dakika yasita na Nabil Fekir dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James distances himself from Rich Paul after agent pushed for Lakers
to trade his client's teammates
-
Los Angeles Lakers star LeBron James is separating himself from comments
made by his agent, Rich Paul, about a potential move the franchise should
make.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment