Clement Lenglet (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 72 ikiilaza 3-2 Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Estadio Benito Villamarín. Mabao mengne ya Barcelona yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya tisa na Sergio Busquets dakika ya 45 na ushei na wakati ya Real Betis yalifungwa na Sergio Canales kwa penalti dakika yasita na Nabil Fekir dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Figure skaters with disabilities seek a place in the Paralympic spotlight
-
As a long jumper, Stef Reid never thought she'd need to learn how to land
on ice. Now she's part of a movement hoping to get figure skating into the
Paraly...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment