Nyota wa Real Madrid, Eden Hazard akipambana na kiungo wa Celta Vigo, Rafinha katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Bernabeu Jijini Madrid. Mabao ya Celta Vigo yamefungwa na Fedor Smolov dakika ya saba na Santi Mina dakika ya 85, wakati ya Real Madrid yalifungwa na Toni Kroos dakika ya 52 na lingine kwa penalti ya Sergio Ramos dakika ya 65. Pamoja na sare hyo Real inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi moja zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona (53-52) baada ya wote kucheza mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA legend Charles Barkley stuns ESPN viewers with outrageous Cardi B
comment during halftime show
-
A short clip of the rapper in full flow was shown during the halftime
interval on ESPN, prompting Barkley to chime in with a comment that left
his cohosts ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment