Anthony Martial akiifungia bao la kusawazisha Manchester United dakika ya 36, kufuatia Emmanuel Dennis kuanza kuifungia Club Brugge dakika ya 15 katika sare ya 1-1 baina ya timu hizo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya UEFA ya Europa League usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel Jijini Brugge, Ubelgiji. Timu hizo zitarudiana Februari 27 Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
He played one game for Tottenham EVER and it came against Arsenal in the
north London derby. Spurs ended up losing 4-1 - can you guess who he is?
-
It is set to be a red-hot atmosphere at the Tottenham Hotspur Stadium on
Sunday, and could come down to which of the two young teams can keep their
heads u...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment