• HABARI MPYA

    Friday, February 21, 2020

    MAN UNITED WAPATA SARE YA UGENINI EUROPA LEAGUE 1-1 NA BRUGGE

    Anthony Martial akiifungia bao la kusawazisha Manchester United dakika ya 36, kufuatia Emmanuel Dennis kuanza kuifungia Club Brugge dakika ya 15 katika sare ya 1-1 baina ya timu hizo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya UEFA ya Europa League usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel Jijini Brugge, Ubelgiji. Timu hizo zitarudiana Februari 27 Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED WAPATA SARE YA UGENINI EUROPA LEAGUE 1-1 NA BRUGGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top