Anthony Martial akiifungia bao la kusawazisha Manchester United dakika ya 36, kufuatia Emmanuel Dennis kuanza kuifungia Club Brugge dakika ya 15 katika sare ya 1-1 baina ya timu hizo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya UEFA ya Europa League usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel Jijini Brugge, Ubelgiji. Timu hizo zitarudiana Februari 27 Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment