Kevin De Bruyne akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 62 kufuatia kumsetia Rodri Hernandez kufunga la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Haliburton leads Pacers to win over Bucks
-
Tyrese Haliburton converts a three-point play with 1.6 seconds left in
overtime to give the Indiana Pacers a 2-1 lead over the Milwaukee Bucks in
their Eas...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment