Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kufunga dakika ya 80 kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya wakichapwa 1-0 na wenyeji, Lyon usiku wa jana Uwanja wa Groupama, Decines-Charpieu bao pekee la Lucas Tousart dakika ya 31. Timu hizo zitarudiana Machi 17 Jijini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Richard Gere shares rare glimpse into son Homer's life: 'I'm passing the
torch'
-
Richard Gere has shared rare comments about his son Homer, revealing why
he's convinced the 26-year-old can make it in Hollywood. See details.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment