Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kufunga dakika ya 80 kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya wakichapwa 1-0 na wenyeji, Lyon usiku wa jana Uwanja wa Groupama, Decines-Charpieu bao pekee la Lucas Tousart dakika ya 31. Timu hizo zitarudiana Machi 17 Jijini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 2
-
While Day 2 of the 2024 NFL draft might not have involved as much drama as
Day 1, plenty of future starters and stars came off the board. Prospects
picked on…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment