• HABARI MPYA

    Thursday, February 27, 2020

    RONALDO AKOSA 'BAO LA WAZI' JUVE YACHAPWA 1-0 NA LYON UFARANSA

    Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kufunga dakika ya 80 kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya wakichapwa 1-0 na wenyeji, Lyon usiku wa jana Uwanja wa Groupama, Decines-Charpieu bao pekee la Lucas Tousart dakika ya 31. Timu hizo zitarudiana Machi 17 Jijini Torino 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AKOSA 'BAO LA WAZI' JUVE YACHAPWA 1-0 NA LYON UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top