Bondia Salim Mtango akipeana mkono na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Kajaliwa viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo. Mtango alizuru Bungeni leo kwa ajili ya pongezi baada ya kumshinda Suriya Tatakhun wa Thailand kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya saba Ijumaa iliyopita Uwanja wa Mkwakwani Jijini na kutwaa taji la UBO uzito wa Light. Wengine kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza na kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Ally Mwalimu
Xavier Worthy goes to the Kansas City Chiefs at No. 28 as two-time
defending champs fill their hole at receiver at 2024 NFL Draft with
dazzling Texas star... and give Patrick Mahomes a new weapon
-
The two-time defending-champion Kansas City Chiefs may have finally
addressed their hole at wide receiver with by taking Texas' Xavier Worthy
with the No. ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment