Bondia Salim Mtango akipeana mkono na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Kajaliwa viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo. Mtango alizuru Bungeni leo kwa ajili ya pongezi baada ya kumshinda Suriya Tatakhun wa Thailand kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya saba Ijumaa iliyopita Uwanja wa Mkwakwani Jijini na kutwaa taji la UBO uzito wa Light. Wengine kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza na kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Ally Mwalimu
Secrets of John Rooney's glow up: Macclesfield Town manager was once a twin
of his older brother Wayne - here's how he got that dazzling smile and
glowing skin
-
When John Rooney flashed his smile after Macclesfield's FA Cup
giant-killing against Crystal Palace, some people were more amazed by his
set of gnashers th...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment