• HABARI MPYA

    Saturday, February 29, 2020

    ALONSO AIPIGIA ZOTE MBILI CHELSEA YATOKA 2-2 NA BOURNEMOUTH

    Marcos Alonso akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 33 na 85 katika sare ya 2-2 na wenyeji, AFC Bournemouth ambayo mabao yake leo yamefungwa na Jefferson Lerma dakika ya 54 na Josh King dakika ya 57 leo Uwanja wa Vitality 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ALONSO AIPIGIA ZOTE MBILI CHELSEA YATOKA 2-2 NA BOURNEMOUTH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top