Kiungo wa Manchester United, Frederico Rodrigues Santos 'Fred' akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu hiyo dakika za 82 na 90 katika ushindi wa 5-0 Uwanja wa Old Trafford usiku wa jana dhidi ya Club Brugge KV kwenye mchezo wa marudiano Hatua ya 32 Bora UEAFA Europa League. Mabao mengine ya Manchester United yalifungwa na Bruno Fernandes kwa penalti dakika ya 27, Odion Ighalo dakika ya 34 na Scott McTominay dakika ya 41 na kwa ushindi huo Mashetani Wekundu wanatinga 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa 6-1 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Ubelgiji PICHA ZAIDI GONGA HAPA
State of Origin game two: NSW Blues star Latrell Mitchell says Matt Burton can have number 4 jersey
-
Game recognises game: fresh off watching NSW debutant Matt Burton put on an
absolute clinic in the centres, injured Blue Latrell Mitchell commented
that Bu...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni