Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 78 hilo likiwa bao lake la 100 England katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 76 katika mchezo wa 26 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 25 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Arsenal could succeed in sensational swoop for Vinicius Jr: Key reason
contract talks with Real Madrid have stalled, concerns over growing tension
with Kylian Mbappe and how Jose Mourinho won't stand in the way
-
PETE JENSON IN MADRID: Arsenal will be pushing against an open door if they
follow through on initial interest and make a big money offer for Vinicius
this...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment