Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 78 hilo likiwa bao lake la 100 England katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 76 katika mchezo wa 26 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 25 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sam Hartman, Jordan Travis' Top Landing Spots After Day 2 of 2024 NFL Draft
-
What a difference a day makes. The first round of the 2024 NFL draft on
Thursday night saw a total of six quarterbacks selected. The second and
third rounds…
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment