Youssef El-Arabi akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Olympiacos dakika ya 119 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa marudiano Hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates Jijini London. Olympiacos ilitangulia kwa bao la Pape Abou Cissé dakika ya 53, kabla ya Pierre-Emerick Aubameyang kuisawazshia Arsenal dakika ya 113, hivyo kufanya matokeo ya jumla kuw asare ya 2-2 na baada ya Washika Bunduki wa London kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza ugenini, lakini timu ya Ugiriki inasonga mbele kwa faida ya mabao ya ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Arsenal could succeed in sensational swoop for Vinicius Jr: Key reason
contract talks with Real Madrid have stalled, concerns over growing tension
with Kylian Mbappe and how Jose Mourinho won't stand in the way
-
PETE JENSON IN MADRID: Arsenal will be pushing against an open door if they
follow through on initial interest and make a big money offer for Vinicius
this...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment