Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 83 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Real Madrid usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid ilitangulia kwa bao la Isco dakika ya 60, kabla ya Gabriel Jesus kuisawazishia Man City dakika ya 78 na timu hizo zitarudiana Machi 17 Uwanja wa Etihad, Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA legend Charles Barkley stuns ESPN viewers with outrageous Cardi B
comment during halftime show
-
A short clip of the rapper in full flow was shown during the halftime
interval on ESPN, prompting Barkley to chime in with a comment that left
his cohosts ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment