Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 83 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Real Madrid usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid ilitangulia kwa bao la Isco dakika ya 60, kabla ya Gabriel Jesus kuisawazishia Man City dakika ya 78 na timu hizo zitarudiana Machi 17 Uwanja wa Etihad, Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Abrams and Wood each hit 2 homers as Nationals outslug Diamondbacks in 10-7
victory
-
WASHINGTON (AP) — CJ Abrams and James Wood both homered twice and drove in
three runs as the Washington Nationals beat the Arizona Diamondbacks 10-7
on Sun...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment