Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 83 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Real Madrid usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid ilitangulia kwa bao la Isco dakika ya 60, kabla ya Gabriel Jesus kuisawazishia Man City dakika ya 78 na timu hizo zitarudiana Machi 17 Uwanja wa Etihad, Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce gives abrupt answer to question about Chiefs locker room
before Texans playoff showdown
-
The Kansas City Chiefs have the chance to do something that no team - not
the Cowboys, not the Steelers, not even the Patrtiots - has ever done: win
three ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment