Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 83 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Real Madrid usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid ilitangulia kwa bao la Isco dakika ya 60, kabla ya Gabriel Jesus kuisawazishia Man City dakika ya 78 na timu hizo zitarudiana Machi 17 Uwanja wa Etihad, Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United goalkeeper David de Gea posts training video from
non-league ground... as the free agent vows to 'come back stronger' after
spending almost a year away from football
-
Former Manchester United goalkeeper David de Gea has posted a video of
himself in training to give another clear indication that he is ready to
return to f...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment