Beki Marcos Alonso akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 48 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Bao la kwanza Chelsea limefungwa na Olivier Giroud dakika ya 15, kabla ya Antonio Rudiger kujifunga dakika ya 89 kuwapata Spurs bao la kufutia machozi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump, 79, Botches National Anthem in Front of Millions
-
President Donald Trump was caught botching national anthem etiquette during
his appearance at the NBA Finals at Madison Square Garden, where he was
heavily...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment