Mshambuliaji Anthony Martial (kushoto) akipongezana na Harry Maguire baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Manchester United dhidi ya wenyeji, Chelsea leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. ) Anthony Martial alifunga la kwanza dakika ya 45 na Maguire akafunga la pili dakika ya 66 na kwa ushindi huo United inafikisha pointi 35 katike mchezo wa 25. Refa Anthony Taylor alitumia msaada wa VAR kukataa mabao mawili ya Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mass shooting in parking lot on Troost Avenue followed party at unlicensed
club, city officials say
-
After a violent weekend in Kansas City, Missouri, officers are
investigating three crime scenes. Two people were killed, and a total of 12
people were shot.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment