Mshambuliaji Anthony Martial (kushoto) akipongezana na Harry Maguire baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Manchester United dhidi ya wenyeji, Chelsea leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. ) Anthony Martial alifunga la kwanza dakika ya 45 na Maguire akafunga la pili dakika ya 66 na kwa ushindi huo United inafikisha pointi 35 katike mchezo wa 25. Refa Anthony Taylor alitumia msaada wa VAR kukataa mabao mawili ya Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Arsenal could succeed in sensational swoop for Vinicius Jr: Key reason
contract talks with Real Madrid have stalled, concerns over growing tension
with Kylian Mbappe and how Jose Mourinho won't stand in the way
-
PETE JENSON IN MADRID: Arsenal will be pushing against an open door if they
follow through on initial interest and make a big money offer for Vinicius
this...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment