Mshambuliaji Anthony Martial (kushoto) akipongezana na Harry Maguire baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Manchester United dhidi ya wenyeji, Chelsea leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. ) Anthony Martial alifunga la kwanza dakika ya 45 na Maguire akafunga la pili dakika ya 66 na kwa ushindi huo United inafikisha pointi 35 katike mchezo wa 25. Refa Anthony Taylor alitumia msaada wa VAR kukataa mabao mawili ya Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
George Russell lands POLE position for season-opening Australian Grand Prix
- as Lando Norris slams new F1 cars that 'suck' and Max Verstappen suffers
qualifying disaster
-
JONATHAN MCEVOY IN MELBOURNE: George Russell planted himself emphatically
on pole at the Australian Grand Prix, confirming his position as favourite
for th...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment