WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AMFARIJI KATIBU MKUU WA TFF, KIDAO BAADA YA KUFIWA NA KAKA YAKE
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa akisaini Kitabu cha maombolezo alipofika kumpa pole Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Kidao Wilfred aliyefiwa na kaka yake mkubwa, Mathew Champanda
0 comments:
Post a Comment