Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U17 will Einzug ins Halbfinale um die Deutsche Meisterschaft absichern
-
Während Borussias U17 Sonntag im Gastspiel bei Borussia Mönchengladbach (11
Uhr) auch die letzten theoretischen Zweifel am Einzug ins Halbfinale um die
Deu...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment