Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Five Ottawa Charge Players Due For A Breakout 2026-27 Season
-
After another run to the Walter Cup Finals, a change in leadership, an
all-but-certain move to the Canadian Tire Centre and the addition of draft
picks whi...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment