Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Title race TV row: Arsenal handed advantage as Man City's bid to switch
matches is REJECTED
-
Man City's schedule has been complicated further by their progression to
the FA Cup final, requiring their Premier League clash against Bournemouth
on May ...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment