Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Air freight rates soar as Middle East conflict blocks trade routes
-
March 13 (Reuters) - Air freight rates have risen by as much as 70% on some
routes since the start of the U.S.-Israeli war on Iran, data shows, as the
conf...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment