Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump Jr and 'Doping Olympics' backers left counting brutal losses
after controversial debut Las Vegas event flopped
-
Back in May, the Enhanced Games - which became better known as the 'Doping
Olympics' - invited a roster of athletes to Las Vegas to compete in an
Olympic-s...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment