Mshambuliaji Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya tano katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 55, kabla ya Gerard Deulofeu kuwafungia wenyeji kwa penalti ya msaada wa Marudio ya Picha za Video (VAR) dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah's Liverpool career is 'OVER': Egypt national team chief
reveals details of star's hamstring injury
-
Mohamed Salah has played his last game for Liverpool - but will be fit for
the World Cup, according to Egypt's national team director.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment