Mshambuliaji Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya tano katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 55, kabla ya Gerard Deulofeu kuwafungia wenyeji kwa penalti ya msaada wa Marudio ya Picha za Video (VAR) dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump trade probe targets Singapore, 15 other US partners; Electricity
prices may climb even with Singapore energy stockpiles: Singapore live news
-
Singapore to engage US over trade investigation, citing US$27 billion
deficit data. Singapore warns electricity prices may rise despite strong
energy secur...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment