Mshambuliaji Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya tano katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Christian Pulisic dakika ya 55, kabla ya Gerard Deulofeu kuwafungia wenyeji kwa penalti ya msaada wa Marudio ya Picha za Video (VAR) dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford thanks Jamie Carragher for NOT talking about him... after
Gary Neville pushed to discuss his Man United future
-
Marcus Rashford has thanked Jamie Carragher for shutting down talk about
his future at Man United after Gary Neville was keen to dig into the
subject.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment