• HABARI MPYA

    Friday, July 06, 2018

    UFARANSA YAIBAMIZA URUGUAY 2-0 NA KUTINGA NUSU FAINALI

    Beki Raphael Varane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la kwanza dakika ya 40 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Uruguay kwenye mchezo wa Robo Fainali leo Uwanja wa Nizhny Novgorod nchini Urusi leo. Bao la pili limefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 61 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA YAIBAMIZA URUGUAY 2-0 NA KUTINGA NUSU FAINALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top