Beki Raphael Varane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la kwanza dakika ya 40 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Uruguay kwenye mchezo wa Robo Fainali leo Uwanja wa Nizhny Novgorod nchini Urusi leo. Bao la pili limefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USMNT knows group stage success won't matter without a World Cup knockout
run
-
Striker Folarin Balogun said Sunday that the group stage "won't mean much"
unless the U.S. makes a run.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment