Kevin De Bruyne akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la pili Ubelgiji dakika ya 31 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brazil leo Uwanja wa Kazan Arena nchini Urusi kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia. Bao la kwanza la Ubelgiji lilifungwa na Fernandinho dakika ya 13, wakati la Brazil lilifungwa na Renato Augusto dakika ya 76 na sasa watakutana na Ufaransa katika Nusu Fainali Julai 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alex Pereira shares 'breaking news' video of himself signing a fight
contract, with fans sent into frenzy over potential Tom Aspinall UFC 304
showdown - but which clue could give it away?
-
Pereira gave fans a hint over a huge showdown with a major name this summer
after uploading a video of him signing a contract - before being handed a
pair ...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment