Aliyekuwa Mbunge wa Korogwe mkoani Tenga, Stepgen Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’ (wa pili kushoto mbele, mwenye baraghashi) akiwa na Waandishi wa habari za Michezo wa Tanzania mwaka 2003 mbele ya hoteli ya Safari Park mjini Nairobi, Kenya ambao aliwasafirisha kwenda kuripoti mchezo wa kimataifa kati ya wenyeji, Harambee Stars na Taifa Stars. Mungu ampumzishe kwa amani Profesa Maji Marefu aliyefariki dunia usiku wa kuamkia Julai 3, mwaka huu hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam
Big names on and off the pitch - what is European T20 Premier League?
-
The Belfast Wolves and Dublin Guardians will play their first game of the
European T20 Premier League in Voorburg on Thursday.
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment