Aliyekuwa Mbunge wa Korogwe mkoani Tenga, Stepgen Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’ (wa pili kushoto mbele, mwenye baraghashi) akiwa na Waandishi wa habari za Michezo wa Tanzania mwaka 2003 mbele ya hoteli ya Safari Park mjini Nairobi, Kenya ambao aliwasafirisha kwenda kuripoti mchezo wa kimataifa kati ya wenyeji, Harambee Stars na Taifa Stars. Mungu ampumzishe kwa amani Profesa Maji Marefu aliyefariki dunia usiku wa kuamkia Julai 3, mwaka huu hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam
Celtics' Jayson Tatum Explains Why He Wanted to Face Heat in NBA Playoffs
1st Round
-
Boston Celtics forward Jayson Tatum says his team was "relaxed" during last
season's first-round series against the Atlanta Hawks, and that he wanted
to st...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment