Harry Wilson (wa pili kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Chester kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Swansway Chester jana. Mabao mengine ya Liverpool katika mchezo ambao wachezaji wapya, viungo Naby Keita na Fabinho walioigharimu klabu karibu Pauni Milioni 100 walicheza kwa mara ya kwanza baada ya kusailiwa, yalifungwa na Daniel Sturridge mawili pia, Ryan Kent, Danny Ings na James Milner kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
South Sydney Rabbitohs 12-42 Penrith Panthers: New coach, same problems for
Bunnies in another miserable night
-
The last-placed Rabbitohs ushered in the post-Jason Demetriou era on
Thursday night but it was a case of new coach, same old Souths before 8155
fans at Acc...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment