Harry Wilson (wa pili kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Chester kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Swansway Chester jana. Mabao mengine ya Liverpool katika mchezo ambao wachezaji wapya, viungo Naby Keita na Fabinho walioigharimu klabu karibu Pauni Milioni 100 walicheza kwa mara ya kwanza baada ya kusailiwa, yalifungwa na Daniel Sturridge mawili pia, Ryan Kent, Danny Ings na James Milner kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ododo seeks expertise of retired power sector stalwarts to advance
Nigeria’s sector
-
Kogi State Governor, Alh. Usman Ododo, has called on retired professionals
in Nigeria's power sector to bring their vast experience and institutional
mem...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment