Harry Wilson (wa pili kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Chester kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Swansway Chester jana. Mabao mengine ya Liverpool katika mchezo ambao wachezaji wapya, viungo Naby Keita na Fabinho walioigharimu klabu karibu Pauni Milioni 100 walicheza kwa mara ya kwanza baada ya kusailiwa, yalifungwa na Daniel Sturridge mawili pia, Ryan Kent, Danny Ings na James Milner kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Severe weather warnings hit Madrid as Arsenal prepare to cope with the
Atletico storm in Champions League showdown
-
Mikel Arteta said Arsenal are ready to tackle any scenario amid warnings of
'significant danger' caused by storms which are set to hit Madrid on
Wednesday ...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment