Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia bao la pili England dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sweden leo Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia, baada ya Harry Maguire kufunga la kwanza dakika ya 30. England sasa itakutana na mshindi kati ya Urusi na Croatia katika Nusu Fainali wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Moment topless England rugby star Billy Vunipola laughs as police try to
Taser him in a Majorcan bar after 'downing four Amarettos and hitting an
officer with his top'
-
Witnesses told today how the 6ft 2in 20-stone giant appeared unfazed by the
first stun gun shot during the wild incident in Majorca.
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment