Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia bao la pili England dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sweden leo Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia, baada ya Harry Maguire kufunga la kwanza dakika ya 30. England sasa itakutana na mshindi kati ya Urusi na Croatia katika Nusu Fainali wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
DSS arrests 3 more fleeing suspects linked to kidnap of Nasarawa varsity
professor
-
Operatives of the Department of State Services (DSS) on Friday night
arrested three more persons suspected to be members of the kidnapping ring
that abdu...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment