Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia bao la pili England dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sweden leo Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la Dunia, baada ya Harry Maguire kufunga la kwanza dakika ya 30. England sasa itakutana na mshindi kati ya Urusi na Croatia katika Nusu Fainali wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Massive fire destroys 100-year-old building in California
-
A historic business complex in Santa Clarita, California was destroyed in a
massive fire on August 24. Among the businesses affected were popular
restauran...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment