SAMATTA AZUNGUMZIA MECHI YA HISANI DHIDI YA TEAM KIBA KESHO TAIFA
Mshambuliaji wa klabu ya Genk ya Ubeligiji,Mbwana Samatta akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mechi ya hisani kati ya mashabiki wake na wa Ali Kiba utakaochezwa kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Kocha wa timu ya Manispaa ya Dodoma, Jamhuri Kihwelo 'Julio' akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mechi ya hisani kati ya mashabiki wa Samatta na wa Ali Kiba utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam,katikati ni Mshambuliaji wa klabu ya Genk ya Ubeligiji,Mbwana Samatta pamoja na msanii wa vichekesho Lucas Muhavile 'Joti'.
Mbwana Samatta na Jamhuri Kihwelo wakati wakiwasili Uwanja wa Taifa kwa ajili ya mkutano
Super sub Stina on her impact at City
-
Stina Blackstenius was the difference-maker in Sunday’s 2-1 win away to
Manchester City in the Barclays Women’s Super League
BVB-Frauen gewinnen 8:1 gegen Hohenlimburg
-
Die bereits als Aufsteiger feststehenden Fußballerinnen von Borussia
Dortmund haben sich am 21. Spieltag der Landesliga mit 8:1 (4:1) gegen den
SV Hohenlim...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment