Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiwa juu kupiga kichwa katika mchezo wa Kundi B kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya Uswisi Uwanja wa Michezo wa Lisboa e Benfica, Luz mjini Lisboa timu yake ikishinda 2-0 na kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani kwa mabao ya Johan Djourou aliyejifunga dakika ya 41 na Andre Silva aliyefunga la pili dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jadon Sancho überholt Tony Woodcock
-
Borussia Dortmund kam besser ins Spiel, hatte in den ersten 20 Minuten 4:2
Torschüsse, doch am Ende waren es 21:12 aus Sicht der Gastgeber. Garanten
für de...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment