Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiwa juu kupiga kichwa katika mchezo wa Kundi B kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya Uswisi Uwanja wa Michezo wa Lisboa e Benfica, Luz mjini Lisboa timu yake ikishinda 2-0 na kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani kwa mabao ya Johan Djourou aliyejifunga dakika ya 41 na Andre Silva aliyefunga la pili dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Maxx Justice dead at 63: WWE legend killed after being hit by a vehicle
while cycling home - as tributes pour in for former wrestler
-
Tributes have been paid to wrestler Maxx Justice, who has died at the age
of 63 after being hit by a car last week.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment