Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiwa juu kupiga kichwa katika mchezo wa Kundi B kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya Uswisi Uwanja wa Michezo wa Lisboa e Benfica, Luz mjini Lisboa timu yake ikishinda 2-0 na kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani kwa mabao ya Johan Djourou aliyejifunga dakika ya 41 na Andre Silva aliyefunga la pili dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Which legendary rap group is performing Knicks' Game 4 halftime show?
-
During halftime of Game 4 in the NBA Finals between the New York Knicks and
San Antonio Spurs, fans at Madison Square Garden will get a special treat.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment