Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiwa juu kupiga kichwa katika mchezo wa Kundi B kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya Uswisi Uwanja wa Michezo wa Lisboa e Benfica, Luz mjini Lisboa timu yake ikishinda 2-0 na kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani kwa mabao ya Johan Djourou aliyejifunga dakika ya 41 na Andre Silva aliyefunga la pili dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three Scotland changes for key visit to Ireland
-
Max Williamson and Grant Gilchrist form a new-look second row and Zander
Fagerson is back in the starting XV as Scotland chase victory away to
Ireland that...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment