Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah 'Try Again' (katikati) akiwa na kaimu makamu wa Rais, Iddi Kajuna (kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA), Almasi Kasongo (kushoto) wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wa jadi, Yanga uliomalizika kwa sare ya 1-1 leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Kaimu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga (kushoto) akiwa na Makamu Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura (katikati) na Mbunge wa zamani wa Lindi Mjini, Abdulaziz Mudhihir
Care to play for the Barbarians at Twickenham
-
Former England scrum-half Danny Care will make his Barbarians debut against
Fiji at Twickenham in June.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment