Mshambuliaji Jamie Vardy (kushoto) akiifungia Leicester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la pili la Leicester Jonjoe Kenny alijifunga dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ready for the final
-
United Women have been preparing for Sunday's huge game at Wembley, against
Chelsea.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment