Mshambuliaji Jamie Vardy (kushoto) akiifungia Leicester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la pili la Leicester Jonjoe Kenny alijifunga dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Responds After Sasha Banks, Naomi Leave During Monday's WWE Raw
-
During this week's episode of Monday Night Raw, the panned main event was
changed early in the show. Ori
Dakika 35 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni