Mshambuliaji Jamie Vardy (kushoto) akiifungia Leicester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la pili la Leicester Jonjoe Kenny alijifunga dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The real reason Prince William refuses to wear a wedding ring
-
Prince William of Wales has opted not to wear a wedding ring since his 2011
ceremony with Princess Kate - here's why
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment