Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi (kushoto) akizungumza na refa Heri Sasii wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Heri Sasii alionekana kuyapuuza anayoambiwa na Okwi na kumuambia aondoke
Refa Heri Sasii anaaonekana anakumsukuma Okwi ili aondoke
Lakini Okwi aligeuka kuendelea kulalamika huku anaondoka kinyumenyume. Nini alikuwa analalamika Okwi?
Former Boston Red Sox player and World Series winner Dave McCarty dies aged
54 after 'cardiac event' in California
-
Former Boston Red Sox player and 2004 World Series winner Dave McCarty has
died at the age of 54 after a 'cardiac event' in California.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment