Waziri wa zamani wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye (kushoto) akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam wakifuatilia mechi ya mahasimu wa jadi, Simba na Yanga
Nape ambaye pia ni kada wa CCM na Mbunge wa jimbo l Mtama aliwashuhudia watani wakitoa sare ya 1-1 jana
Nape akizungumza na rafiki mbalimbali jana Uwanja wa Uhuru
Bitcoin jumps to $78,000 as Trump extends Iran ceasefire
-
Bitcoin jumped to its highest level since early February as Trump extended
a ceasefire with Iran.
2 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment