Waziri wa zamani wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye (kushoto) akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam wakifuatilia mechi ya mahasimu wa jadi, Simba na Yanga
Nape ambaye pia ni kada wa CCM na Mbunge wa jimbo l Mtama aliwashuhudia watani wakitoa sare ya 1-1 jana
Nape akizungumza na rafiki mbalimbali jana Uwanja wa Uhuru
Tinubu, Obi, Fayemi meet at Vatican
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu met with Labour
Party Presidential candidate Peter Obi and former Ekiti Governor Kayode
Fayemi a...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment