Mama na mwana, au mtu na mdogo wake mashabiki wa Yanga wakielekea kuingia Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu, Simba
Mashabiki wa Yanga mtu na mpenzi wake tayari kuingia Uwanja wa Uhuru
Jezi zinaendelea kuuzwa nje ya Uwanja wa Uhuru
Na watu wanazidi kumiminika wakiteremshwa na mabasi
Hali ilivyo nje ya Uwanja wa Uhuru
Mashabiki wengine bado wapo Baa wanapata vinywaji
NBRDA charts new path for Niger Delta bioeconomic transformation
-
The Director General and Chief Executive Officer (DG/CEO) of the National
Biotechnology Research and Development Agency (NBRDA), Prof. Abdullahi
Mustapha...
13 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment