Mama na mwana, au mtu na mdogo wake mashabiki wa Yanga wakielekea kuingia Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu, Simba
Mashabiki wa Yanga mtu na mpenzi wake tayari kuingia Uwanja wa Uhuru
Jezi zinaendelea kuuzwa nje ya Uwanja wa Uhuru
Na watu wanazidi kumiminika wakiteremshwa na mabasi
Hali ilivyo nje ya Uwanja wa Uhuru
Mashabiki wengine bado wapo Baa wanapata vinywaji
What happens when Man United finally win five in a row? Viral fan reveals
his plans to stay relevant once his haircut challenge is ended by the Red
Devils
-
Frank Ilett - better known as The United Strand - has been growing out his
now-mop-like hair since October 2024, a period during which United have
failed t...
15 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment