Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa na huzuni baada ya kupoteza mchezo wa La Liga ugenini mbele ya wenyeji, Girona kwa kufungwa 2-1 Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona, Katalunya. Mabao ya Girona yalifungwa na Christhian Stuani dakika ya 54 na Christian Portu dakika ya 58, kufuatia Isco kuanza kuifungia Real dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Your call for self help is call for anarchy – Forum tackles TY Danjuma
-
From Sylvanus Viashima, Jalingo The Kuteb Elders Forum (KEFA), Abuja has
condemned calls by former Minister of Defence, Lt. Gen. Theophilus Danjuma
for N...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment