Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa na huzuni baada ya kupoteza mchezo wa La Liga ugenini mbele ya wenyeji, Girona kwa kufungwa 2-1 Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona, Katalunya. Mabao ya Girona yalifungwa na Christhian Stuani dakika ya 54 na Christian Portu dakika ya 58, kufuatia Isco kuanza kuifungia Real dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bafana Bafana: 5 countries that escaped FIFA’s punishment
-
By Seyi Babalola The issue surrounding South Africa’s 2-0 victory against
Lesotho in the 2026 FIFA World Cup Qualifiers continues to intensify. After
it ...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment